HABARI MPYA
blink
2:20 AM
VIJANA WALIO KATIKA MPANGO WA KUJIOAJIRI YOUTH FOR CHANGE-NZEGA TABORA WAKIWA KATIKA SHAMBA LAO LA BUSTANI LILILOPO IYOMBO KATA YA ITILO WALIPOKWENDA KUPANDA KABEGI
COORDINATOR OF YOUTH FOR CHANGE BONIPHACE NYABWETA FIELD WITH
IYOMBO
TOMATOES ARE PART OF OUR PRODUCTS IN LIMA TULIO OUR FIELD OF
GARDENING IYOMBO Nzega TABORA
We have been able Lima horticulture FROM THE PRESENCE OF WATER IN
OUR GARDEN TUNAUHAKIKA SO THE HARVEST AND GET MONEY
COORDINATOR WITH FATHER CHRISTOPHER MZEE Stephen GUARDIAN OF YOUTH FOR
CHANGE FIELD WHILE IYOMBO
YOUTH FIELD WHILE traveling to IYOMBO, bikes are PART OF
TRANSPORTATION we have relied in bring us FIELD.
CONSIDERING We trailers NOR POWERTILLER, obliging USE
IMPORTANT MATERIALS LIKE COWS cent.
CONSIDERING We trailers NOR POWERTILLER, obliging USE
IMPORTANT MATERIALS LIKE COWS cent.
TOGETHER FOR FOOD find us when we work so we can continue AND
RESPONSIBILITIES OF THE GARDEN
YOUTH WAMEAMKA, SO CAN YOU GIVE AGRICULTURAL DEVELOPMENT RECOGNIZING,
among young HAZARDS IN THE PICTURE IS graduates
We have TUMELIMA TOGETHER FOR HARVESTING FOR JOINT SECURITY
IN GENDER SENSITIVITY, we have a sister who WAMEDHAMILIA depth
focus in horticulture.
IYOMBO
TOMATOES ARE PART OF OUR PRODUCTS IN LIMA TULIO OUR FIELD OF
GARDENING IYOMBO Nzega TABORA
We have been able Lima horticulture FROM THE PRESENCE OF WATER IN
OUR GARDEN TUNAUHAKIKA SO THE HARVEST AND GET MONEY
COORDINATOR WITH FATHER CHRISTOPHER MZEE Stephen GUARDIAN OF YOUTH FOR
CHANGE FIELD WHILE IYOMBO
YOUTH FIELD WHILE traveling to IYOMBO, bikes are PART OF
TRANSPORTATION we have relied in bring us FIELD.
CONSIDERING We trailers NOR POWERTILLER, obliging USE
IMPORTANT MATERIALS LIKE COWS cent.
CONSIDERING We trailers NOR POWERTILLER, obliging USE
IMPORTANT MATERIALS LIKE COWS cent.
TOGETHER FOR FOOD find us when we work so we can continue AND
RESPONSIBILITIES OF THE GARDEN
YOUTH WAMEAMKA, SO CAN YOU GIVE AGRICULTURAL DEVELOPMENT RECOGNIZING,
among young HAZARDS IN THE PICTURE IS graduates
We have TUMELIMA TOGETHER FOR HARVESTING FOR JOINT SECURITY
IN GENDER SENSITIVITY, we have a sister who WAMEDHAMILIA depth
focus in horticulture.
4:51 AM

Katika zama hizi watu wengi sana wanamiliki blogs, za personal, entertainment au matangazo mbali, kila mtu akiwa na dhamira tofauti akilini mwake. Lakini si Kila Blog inayoanzishwa hudumu, wengi hushindwa kufika mbali na hatimaye blogs zao hufa au kukosa wafuatiliaji.
Zifuatazo ni miongoni mwa sababu zinazosababisha Blog nyingi Kutofanikiwa:-
1.Kukosa Content zako Mwenyewe, hatimaye kuanza Ku Copy na Ku Paste
Hili ni jambo ambalo Bloggers wengi wa Hapa kwetu Tanzania Wamelizoea, Ndo maana utakuta habari au makala ileile imeandikwa na Bloggers zaidi ya watano bila kubadilishwa kitu, hii hupunguza taswira ya umakini toka kwa wafuatiliaji wako.
2. Kukosa Ufuatiliaji katika Blogs/Sites zenye Muingiliano na Blog yako.
Kama umedhamiria blog yako iende mbele basi ni jambo la lazima kuwa unatembelea blogs zenye maudhui ya kufanan nawe ili upate changamoto kuhusu nini cha kufanya na kuandika.
3. Kujibu Maswali au Hoja zinazoulizwa sehemu nyingine ambazo hazijapatiwa Ufumbuzi.
Kama ni mtembeleaji wa blogs/sites nyingine unaweza ku observe ni kipi wafutiliaje wanakihoji na hakijapata majibu au maelezo ii wewe ndo iwe sehemu yako ya kujikusanyia wafuatiliaji kwa kuwapa wanachokihitaji.
4. Kujifunza kutoka kwa waliofanikiwa.
Kama una nia ya dhati ya kufika mbali na Blog yako basi uwe mtu wa kujifunza mara kwa mara toka kwa waliofanikiwa ili nawe utembelea hatua zao katika kukwepa matatizo na kupata mafanikio.
5. Usijiache Peke yako tu, Jichanganye na Bloggers wenzio.
Hii pia ni tatizo kwetu, kwani kuna Bloggers ambao wao wanajiona ndo ma Top, basi hawana muda wa kuwasikiliza hawa wa chini wanaomba nini au ushauri gani wanataka, pia hata kuwawekea link za blogs zao ni shida, pia sisi tunaoanza ku blog tujishirikishe kwa wenzetu ili kukuza traffic na exposure.
Nawasilisha, Tafadhali Toa Maoni yako.
Sababu Tano(5) za Kutofanikiwa katika Blogging
Katika zama hizi watu wengi sana wanamiliki blogs, za personal, entertainment au matangazo mbali, kila mtu akiwa na dhamira tofauti akilini mwake. Lakini si Kila Blog inayoanzishwa hudumu, wengi hushindwa kufika mbali na hatimaye blogs zao hufa au kukosa wafuatiliaji.
Zifuatazo ni miongoni mwa sababu zinazosababisha Blog nyingi Kutofanikiwa:-
1.Kukosa Content zako Mwenyewe, hatimaye kuanza Ku Copy na Ku Paste
Hili ni jambo ambalo Bloggers wengi wa Hapa kwetu Tanzania Wamelizoea, Ndo maana utakuta habari au makala ileile imeandikwa na Bloggers zaidi ya watano bila kubadilishwa kitu, hii hupunguza taswira ya umakini toka kwa wafuatiliaji wako.
2. Kukosa Ufuatiliaji katika Blogs/Sites zenye Muingiliano na Blog yako.
Kama umedhamiria blog yako iende mbele basi ni jambo la lazima kuwa unatembelea blogs zenye maudhui ya kufanan nawe ili upate changamoto kuhusu nini cha kufanya na kuandika.
3. Kujibu Maswali au Hoja zinazoulizwa sehemu nyingine ambazo hazijapatiwa Ufumbuzi.
Kama ni mtembeleaji wa blogs/sites nyingine unaweza ku observe ni kipi wafutiliaje wanakihoji na hakijapata majibu au maelezo ii wewe ndo iwe sehemu yako ya kujikusanyia wafuatiliaji kwa kuwapa wanachokihitaji.
4. Kujifunza kutoka kwa waliofanikiwa.
Kama una nia ya dhati ya kufika mbali na Blog yako basi uwe mtu wa kujifunza mara kwa mara toka kwa waliofanikiwa ili nawe utembelea hatua zao katika kukwepa matatizo na kupata mafanikio.
5. Usijiache Peke yako tu, Jichanganye na Bloggers wenzio.
Hii pia ni tatizo kwetu, kwani kuna Bloggers ambao wao wanajiona ndo ma Top, basi hawana muda wa kuwasikiliza hawa wa chini wanaomba nini au ushauri gani wanataka, pia hata kuwawekea link za blogs zao ni shida, pia sisi tunaoanza ku blog tujishirikishe kwa wenzetu ili kukuza traffic na exposure.
Nawasilisha, Tafadhali Toa Maoni yako.
Labels:
DESIGNING
4:49 AM
Katika Articles za nyuma nimeongelea kuhusu umuhimu wa kuwa na Widget hii ambayo husaidia kuongeza Traffic katika Blog yako na pia kufanya Post zako za nyuma kutosahaulika kirahisi.
Njia za Mwanzo zilikuwa ngumu kidogo ila leo nataka niwaeleze kuhusu njia tatu(3) Rahisi mno na hazihitaji mtu kuwa na Utaalam wa Coding kwani Hata Hauhitaji kubadilisha HTML code zako:-
1. Link with In

Hii itakuhitaji kujisajili tu, kisha Utaikuta Widget ya Link With In katika Blog yako na hapo Kila utakapoandika post zako basi zitapata kuonekana na widget hiyo ya Related Post, pia una nafasi ya kuchagua zionekane katika Front Page au Katika Post ndani.
2. N Relate

Hii nayo ni kama Link With In, Ukishajisajili basi unatiririka tu, na utaikuta Widget hiyo Katika LAYOUT ya Blogger Dash Board yako.
3. Out Brain

Hapa napo ni kama katika hizo mbili za juu, yaani ukishajisajili tu na kuandika Blog Address yako basi zinaanza kutokea, muhimu ni kuchagua tu kwamba zitokee juu katika front page au ndani katika Blog Posts.
Njia Tatu (3) Rahisi zaidi ya kuweka Related Post Katika Blogs
Katika Articles za nyuma nimeongelea kuhusu umuhimu wa kuwa na Widget hii ambayo husaidia kuongeza Traffic katika Blog yako na pia kufanya Post zako za nyuma kutosahaulika kirahisi.
Njia za Mwanzo zilikuwa ngumu kidogo ila leo nataka niwaeleze kuhusu njia tatu(3) Rahisi mno na hazihitaji mtu kuwa na Utaalam wa Coding kwani Hata Hauhitaji kubadilisha HTML code zako:-
1. Link with In
Hii itakuhitaji kujisajili tu, kisha Utaikuta Widget ya Link With In katika Blog yako na hapo Kila utakapoandika post zako basi zitapata kuonekana na widget hiyo ya Related Post, pia una nafasi ya kuchagua zionekane katika Front Page au Katika Post ndani.
2. N Relate
Hii nayo ni kama Link With In, Ukishajisajili basi unatiririka tu, na utaikuta Widget hiyo Katika LAYOUT ya Blogger Dash Board yako.
3. Out Brain
Hapa napo ni kama katika hizo mbili za juu, yaani ukishajisajili tu na kuandika Blog Address yako basi zinaanza kutokea, muhimu ni kuchagua tu kwamba zitokee juu katika front page au ndani katika Blog Posts.
Labels:
DESIGNING
4:45 AM

Ingawa kwa mtazamo wa haraka jambo hilo ni kama Uchoyo, lakini naimani wapo Bloggers miongoni mwetu ambao huwa tunaumia sana pale mtu anapo copy post yako nzima ambayo umeiandaa kwa zaidi ya siku 2 hivi halafu asiweke source au link yako.
Hali huwa Mbaya zaidi kwani Kuna Baadhi ya wezi hao wasiokuwa na fadhila, blogs zao hupatikana kirahisi zaidi katika search engines jambo linalowafanya wazidi kuwa juu kuliko wewe mmliki wa halali wa Content hizo.
Ile Dawa iliyokuwa ikichemka sasa imesha iva. Na Inaweza kuwa hivi:-
1. Linda Kazi/Post zako kwa kuzuia Right Click ya Mouse.

Kupia Codes ntazokuwekea hapa Chini, Mouse ya computer yoyote haitaweza kufanya kazi upande wa Kulia, hivyo kumnyima fursa mtu anaye taka ku Copy huku akipata ujumbe Unaoonesha umezuia.
Fanya kama una Add widget kupitia LAYOUT ya Blogger Dash board yako, Kisha Paste Code hizi katika HTML au JAVA SCRIPT kisha save, mchezo Kwishnehi.
Code Hizi:-
<script language=”JavaScript”>
<!–
//Disable right mouse click Script
//By Cyber World (contact@esoftload.info) w/ mods by Software Store
//For full source code, visit http://www.esoftload.info
var message=”Tanzania Bloggers Hairuhusiwi Kubonyeza Hivyo!”;
///////////////////////////////////
function clickIE4(){
if (event.button==2){
alert(message);
return false;
}
}
function clickNS4(e){
if (document.layers||document.getElementById&&!document.all){
if (e.which==2||e.which==3){
alert(message);
return false;
}
}
}
if (document.layers){
document.captureEvents(Event.MOUSEDOWN);
document.onmousedown=clickNS4;
}
else if (document.all&&!document.getElementById){
document.onmousedown=clickIE4;
}
document.oncontextmenu=new Function(“alert(message);return false”)
// –>
</script>
KISHA SAVE.
Usisahau Kubadilisha Maneno “TANZANIA BLOGGERS HAIRUHUSIWI KOBONYEZA HIVYO” Kuwa unavyotaka wewe.
2. Njia ya Pili ni Kuzuia Ku copy bila kutokea Ujumbe wowote.
Pia njia hii haihitaji uende uka Edit Code za Template katika HTML, Fanya kama hapo juu, Ukisha add hiyo widget Paste Cody Zifuatazo kisha save:-
<!–MBW Code–>
<script language=’JavaScript1.2′>
function disableselect(e){
return false
}
function reEnable(){
return true
}
document.onselectstart=new Function (“return false”)
if (window.sidebar){
document.onmousedown=disableselect
document.onclick=reEnable
}
</script>
KISHA SAVE.
Kupitia njia hizo naimani utazuia watu wasiopenda kuumiza vichwa na kuandika makala zao wenyewe. Hii haimaanishi hawataitembelea Blog yako, ila itafanya wawe wabunifu katika Kuandaa Post zao wenyewe.
Ikiwa bado kuna JANGILI limeweza kuvuka njia zote hizo na Ku Copy basi DAWA ya mwisho ipo, hiyo huitaji uka paste kidogo katika HTML Editor ya Template yako. Lakini nnaimani kwa hapo utapunguza vijizi vya kitoto vya kazi zako.
Tafadhali lete maoni yako.
Jinsi ya Kulinda Post zako zisikopiwe au Kuibiwa
Ingawa kwa mtazamo wa haraka jambo hilo ni kama Uchoyo, lakini naimani wapo Bloggers miongoni mwetu ambao huwa tunaumia sana pale mtu anapo copy post yako nzima ambayo umeiandaa kwa zaidi ya siku 2 hivi halafu asiweke source au link yako.
Hali huwa Mbaya zaidi kwani Kuna Baadhi ya wezi hao wasiokuwa na fadhila, blogs zao hupatikana kirahisi zaidi katika search engines jambo linalowafanya wazidi kuwa juu kuliko wewe mmliki wa halali wa Content hizo.
Ile Dawa iliyokuwa ikichemka sasa imesha iva. Na Inaweza kuwa hivi:-
1. Linda Kazi/Post zako kwa kuzuia Right Click ya Mouse.
Kupia Codes ntazokuwekea hapa Chini, Mouse ya computer yoyote haitaweza kufanya kazi upande wa Kulia, hivyo kumnyima fursa mtu anaye taka ku Copy huku akipata ujumbe Unaoonesha umezuia.
Fanya kama una Add widget kupitia LAYOUT ya Blogger Dash board yako, Kisha Paste Code hizi katika HTML au JAVA SCRIPT kisha save, mchezo Kwishnehi.
Code Hizi:-
<script language=”JavaScript”>
<!–
//Disable right mouse click Script
//By Cyber World (contact@esoftload.info) w/ mods by Software Store
//For full source code, visit http://www.esoftload.info
var message=”Tanzania Bloggers Hairuhusiwi Kubonyeza Hivyo!”;
///////////////////////////////////
function clickIE4(){
if (event.button==2){
alert(message);
return false;
}
}
function clickNS4(e){
if (document.layers||document.getElementById&&!document.all){
if (e.which==2||e.which==3){
alert(message);
return false;
}
}
}
if (document.layers){
document.captureEvents(Event.MOUSEDOWN);
document.onmousedown=clickNS4;
}
else if (document.all&&!document.getElementById){
document.onmousedown=clickIE4;
}
document.oncontextmenu=new Function(“alert(message);return false”)
// –>
</script>
KISHA SAVE.
Usisahau Kubadilisha Maneno “TANZANIA BLOGGERS HAIRUHUSIWI KOBONYEZA HIVYO” Kuwa unavyotaka wewe.
2. Njia ya Pili ni Kuzuia Ku copy bila kutokea Ujumbe wowote.
Pia njia hii haihitaji uende uka Edit Code za Template katika HTML, Fanya kama hapo juu, Ukisha add hiyo widget Paste Cody Zifuatazo kisha save:-
<!–MBW Code–>
<script language=’JavaScript1.2′>
function disableselect(e){
return false
}
function reEnable(){
return true
}
document.onselectstart=new Function (“return false”)
if (window.sidebar){
document.onmousedown=disableselect
document.onclick=reEnable
}
</script>
KISHA SAVE.
Kupitia njia hizo naimani utazuia watu wasiopenda kuumiza vichwa na kuandika makala zao wenyewe. Hii haimaanishi hawataitembelea Blog yako, ila itafanya wawe wabunifu katika Kuandaa Post zao wenyewe.
Ikiwa bado kuna JANGILI limeweza kuvuka njia zote hizo na Ku Copy basi DAWA ya mwisho ipo, hiyo huitaji uka paste kidogo katika HTML Editor ya Template yako. Lakini nnaimani kwa hapo utapunguza vijizi vya kitoto vya kazi zako.
Tafadhali lete maoni yako.
Labels:
DESIGNING




