Home » , » HABARI PICHA YFCC

HABARI PICHA YFCC


      Siku ya ufunguzi wa mafunzo kwa vijana wa YFCC Forest Hotel katika picha ni Katibu wa CCM Wilaya ya Nzega Kajoro Vyohoroka aliye vaa tisheti ya kijani, Mratibu wa YFCC wa pili kutoka kushoto, na mwakilishi wa mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Nzega Ndugu Ngomuo.                                   

 Vijana wa YOUTH FOR CHANGE wakiwa katika shamrashamra za maandalizi ya ufunguzi wa mafunzo ya ujasiriamali.

                                                Wana YFCC wakiwa katika kikao cha pamoja
        Siku ya Sherehe ya uzinduzi wa mpango tarehe 18/5/2013 Check Point Nzega Tabora




          Vikao vya pamoja ndiyo uleta matumaini kwa vijana katika kupanga nini wafanye na kwawakati gani.

Share this article :
 
Support : Swahiliclan | harold | 0752490120
Copyright © 2011. YOUTH FOR CHANGE - All Rights Reserved
Template Created by swahiliclan Published by hashork
Proudly powered by sc