Home » » VIJANA WALIO KATIKA MPANGO WA YOUTH FOR CHANGE-NZEGA TABORA

VIJANA WALIO KATIKA MPANGO WA YOUTH FOR CHANGE-NZEGA TABORA

 Vijana walio katika mpango wa Youth for Change Nzega Tabora, wenye lengo la kuwawezesha kujiajiri kutokana na fursa zilizopo katika Wilaya ya Nzega, wote wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza mafunzo ya siku tatu ya ujasiriamali yaliyo fanyika Forest Hotel Nzega. Mafunzo hayo yalitolewa na mratibu wa shirika la kazi Duniani na kuratibiwa na taasisi ya Information for Dissemination Network (IDN) mwezi march 18. 2013.
Picha ya pamoja ya Viongozi wa Youth for Change Nzega Tabora baada ya mafunzo ya Ujasiriamali kwa vijana, yaliyo funguliwa na Mh. Mkuu wa Wilaya ya Nzega Bituni Msangi tarehe 18/3/2013 katika Ukumbi wa Forest Hotel Nzega. Mratibu wa Mafunzo hayo ni Ndugu Boniphace Nyabweta,mwenye shati la blue bahari wa nne kutoka kulia, wanne kutoka kushoto ni mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya Ndugu. Ngomuo, na Katibu wa CCM Wilaya mwenye tisheti ya kijani Ndugu Kajoro Vyohoroka ambaye pia alihudhulia katika siku ya ufunguzi wa mafunzo hayo.
Share this article :
 
Support : Swahiliclan | harold | 0752490120
Copyright © 2011. YOUTH FOR CHANGE - All Rights Reserved
Template Created by swahiliclan Published by hashork
Proudly powered by sc