Home » , » VIJANA WA YOUTH FOR CHANGE WAJITOLEA KUFANYA USAFI HOSPITALI YA WILAYA YA NZEGA

VIJANA WA YOUTH FOR CHANGE WAJITOLEA KUFANYA USAFI HOSPITALI YA WILAYA YA NZEGA

     Wana YOUTH FOR CHANGE katika picha ya pamoja, mara baada ya kukamilisha zoezi la kujitolea kufanya usafi katika Hospitali ya Wilaya ya Nzega hivi karibuni. Mwenye tisheti nyekundu aliye vaa kitambulisho Bwana Boniphace Nyabweta (Mratibu) wa YFCC, kushoto ni Afisa Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega Dada Frida na kulia ni Muuguzi wa hospita ya Wilaya ya Nzega.


    Bwana YARED BARAKUBA akiwa katika zoezi la usafi katika Hospitali ya Wilaya ya Nzega, mara  
  baada ya vijana wa Youth for Change walipo kwenda kujitolea kufanya usafi wa mazingira hospitalini hapo.
    Dada Prisca Phaustin aliye vaa gloves na tishet nyekundu na dada Recho Sinda wakijadiliana juu ya 
    zoezi   la usafi walilojitolea kufanya hivi karibuni katika hospitali ya Wilaya ya Nzega kama sehemu ya
    mchango wao kwa jamii.
    Dafroza Sadock na kaka Zakayo Dominick, wana YFCC wakifanyausafi wa mazingira hospitali ya   
    Wilaya ya Nzega.
   Stanslaus Mathias, ambaye pia ni (Afisa Masoko) wa YFCC na Dada Maimuna Kasha (Afisa wa 
    Maktaba) katika zoezi la pamoja la usafi wa mazingira hospitali ya Wilaya ya Nzega.
Share this article :
 
Support : Swahiliclan | harold | 0752490120
Copyright © 2011. YOUTH FOR CHANGE - All Rights Reserved
Template Created by swahiliclan Published by hashork
Proudly powered by sc